|
|
|||
| v Hali ya maendeleo ya watoto wa China yaboreshwa sana Tarehe 20 ni siku ya watoto duniani. Naibu mkurugenzi wa kamati ya kuwahudumia wanawake na watoto ya China Bibi Su Fengjie amesema kutokana na juhudi za miaka mingi, hali ya maendeleo ya watoto wa China imeboreshwa sana, ambapo hali ya afya, chakula, elimu ya watoto imefikia kiwango kilichowekwa na Umoja wa Mataifa kwenye Malengo ya Milenia. |
Nyumba ya Lu mjini Shaoxing yenye umaalumMji wa Shaoxing, mkoani Zhejiang kuna kundi moja la majengo ya enzi ya Ming, ambayo yalikuwa nyumbani kwa ofisa mmoja wa zama za kale, na ni nadra kuonekana kwenye sehemu ya kusini mwa China. ![]() |
| © China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |