• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • v WHO yasema virusi vya Corona vinatoka kwa wanyama badala kutengenezwa maabara

    Msemaji wa Shirika la afya duniani (WHO) Bibi Fadela Chaib jana kwenye mkutano na waandishi wa habari amesema, kwa mujibu wa ushahidi uliopo sasa, WHO inaamini kuwa virusi vya Corona vinatoka kwa wanyama. Amesema, "Ushahidi wote tulionao unaonesha kuwa virusi vya Corona vinatoka kwa wanyama, na havitokani na uingiliaji wa binadamu au kutengenezwa kwenye maabara."

    Uchumi
    • Uganda:  Shirika la ndege la Uganda lasitisha safari zake.
    Shirika la ndege la Uganda limesimamisha safari zote za ndege nchini Uganda ili kukabili tishio la usambazaji wa virusi vya corona. Ikitoa tangazo hilo, usimamizi mkuu wa shirika la ndege la Uganda, limesema kwamba safari zote isipokuwa za mizigo zimefutiliwa mbali kuanzia leo Jumatatu hadi wakati usiojulikana.
    Makala
    • Marekani yapaswa kuchunguzwa na jamii ya kimataifa kwa maambukizi ya COVID-19

    Baadhi ya wanasiasa wa Marekani hivi karibuni wameendelea kusambaza uvumi kwamba, virusi vya Corona vimetengenezwa na China katika maabara ya mjini Wuhan, na kudai kufanya uchunguzi wa kimataifa kuhusu jambo hilo. Lakini ukweli ni kwamba jamii ya kimataifa ikiwemo vyombo vikuu vya habari vya Marekani inaona kuwa, badala ya China, Marekani inapaswa kuchunguzwa kwa maambukizi ya virusi hivyo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako