|
|
|||
| v Iran yaanza kusafisha uranium nzito yenye asilimia 20 ya nyukilia Mwenyekiti wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran Bw. Ali Salehi tarehe 9 ametangaza kuwa, Iran siku hiyo imeanza kusafisha uranium nzito yenye asilimia 20 ya nyukilia mjini Natanz. |
Kuangalia theluji na barafu mjini Harbin katika majira ya baridiHarbin ni mji wenye vitu vingi vya kuvutia, ambao unajulikana sana kutokana na vitu vya sanaa vya theluji na barafu. Hivi sasa ni majira ya baridi, na ni siku zenye baridi kali zaidi katika mwaka, lakini vilevile ni siku zenye furaha kubwa zaidi, kwani tamasha la theluji na barafu linafanyika hivi sasa. ![]() |
| © China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |