| v WHO yasema virusi vya Corona vinatoka kwa wanyama badala kutengenezwa maabara Msemaji wa Shirika la afya duniani (WHO) Bibi Fadela Chaib jana kwenye mkutano na waandishi wa habari amesema, kwa mujibu wa ushahidi uliopo sasa, WHO inaamini kuwa virusi vya Corona vinatoka kwa wanyama. Amesema, "Ushahidi wote tulionao unaonesha kuwa virusi vya Corona vinatoka kwa wanyama, na havitokani na uingiliaji wa binadamu au kutengenezwa kwenye maabara." |
Wataalam Afrika waendelea kupinga pendekezo la kufanyia majaribio ya chanjo ya corona barani humo 2020-05-05 |
| More>> |
Miundo 15,000 ya jeni za virusi yaonyesha virusi vya Corona havikutengenezwa na binadamu 2020-05-05Kwenye mkutano na waandishi wa habari wa Shirika la Afya Duniani WHO, mkurugenzi wa kiufundi wa Programu za Dharura za WHO Bibi Maria Van Kerkhove amesema virusi vya Corona vinaenea kati ya popo, hivi sasa miundo 15,000 kamili ya jeni za virusi unaonyesha kuwa virusi vya Corona havikutengenezwa na binadamu. |
| More>> |
Wanasayansi wa China na Marekani waungana kutafuta chanzo cha virusi vya Corona04-30 18:06 Wanasayansi kutoka Marekani wanashirikiana na wenzao wa China katika kutafuta chanzo cha virusi vya Corona, licha ya baadhi ya wanasiasa wa Marekani kueneza uvumi kwamba virusi hivyo vilitengenezwa katika maabara mjini Wuhan. |
| More>> |
Uganda: Shirika la ndege la Uganda lasitisha safari zake.Shirika la ndege la Uganda limesimamisha safari zote za ndege nchini Uganda ili kukabili tishio la usambazaji wa virusi vya corona. Ikitoa tangazo hilo, usimamizi mkuu wa shirika la ndege la Uganda, limesema kwamba safari zote isipokuwa za mizigo zimefutiliwa mbali kuanzia leo Jumatatu hadi wakati usiojulikana. |
Marekani yapaswa kuchunguzwa na jamii ya kimataifa kwa maambukizi ya COVID-19Baadhi ya wanasiasa wa Marekani hivi karibuni wameendelea kusambaza uvumi kwamba, virusi vya Corona vimetengenezwa na China katika maabara ya mjini Wuhan, na kudai kufanya uchunguzi wa kimataifa kuhusu jambo hilo. Lakini ukweli ni kwamba jamii ya kimataifa ikiwemo vyombo vikuu vya habari vya Marekani inaona kuwa, badala ya China, Marekani inapaswa kuchunguzwa kwa maambukizi ya virusi hivyo. |
| Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Aprili 25-Mei 1) 1.IRC yasema watu bilioni 1 huenda wakaambukizwa Corona Duniani 2.Nusu ya wafanyakazi duniani waathiriwa na Corona 3.China na Afrika zashirikiana kwenye mapambano dhidi ya Corona 4.China yasema lawama dhidi yake ni kinyume cha hali halisi 5.Kenya imeanza kuwaruhusu watu kula migahawani kwa masharti. 6.Uzinduzi wa makubaliano ya eneo la biashara huria la Afrika waahirishwa kutokana maambukizi ya Corona |
| More>> |
| © China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |