|
|
|||
| v Ziara ya Jia Qingling kuimarisha urafiki kati ya China na Afrika Mwenyekiti wa baraza la mashauriano ya kisiasa la China Bw Jia Qingling ameondoka leo kwenda ziarani barani Afrika, ziara yake barani Afrika ni moja kati ya ziara zinazofanywa na viongozi wa ngazi ya juu wa China barani Afrika. |
Kuonja chai maarufu katika jumba la makumbusho la chaiKatika shamba moja la michai, kando ya ziwa Xihu, mjini Hangzhou mkoani Zhejiang, China, ukienda mbele kwa upande wa magharibi kwa kufuata ziwa Xihu, unaweza kuona shamba moja la michai, kati yake kuna jengo moja nadhifu lenye kuta nyeupe na mapaa ya rangi nyekundu, jengo hili ni jumba la makumbusho la chai nchini China. ![]() |
| © China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |