|
|
|||
| v Waangilizi wa Umoja wa Mataifa wako salama baada ya mlipuko kutokea karibu na msafara wao nchini Syria Kiongozi wa ujumbe wa waangalizi wa Umoja wa Mataifa nchini Syria Meja Jenerali Robert Mood amesema wasimamizi ambao magari yao yaliharibiwa katika mlipuko uliotokea jana mchana wako salama. |
Kuonja chai maarufu katika jumba la makumbusho la chaiKatika shamba moja la michai, kando ya ziwa Xihu, mjini Hangzhou mkoani Zhejiang, China, ukienda mbele kwa upande wa magharibi kwa kufuata ziwa Xihu, unaweza kuona shamba moja la michai, kati yake kuna jengo moja nadhifu lenye kuta nyeupe na mapaa ya rangi nyekundu, jengo hili ni jumba la makumbusho la chai nchini China. ![]() |
| © China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |