• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • v Katibu mkuu wa UM ataka kuimarisha ushirikiano wa kimataifa ili kupambana na magendo ya dawa za kulevya
    Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Antonio Guterres ameitaka Jumuiya ya Kimataifa kuimarisha ushirikiano katika kupambana na magendo ya dawa za kulevya.
    Tarehe 26 ilikuwa siku ya kupiga marufuku dawa za kulevya, ambapo Bw. Guterres ametoa hotuba akisema, suala la dawa za kulevya ni moja ya changamoto kubwa zinazowakabili binadamu, na linaathiri usalama na maendeleo endelevu.
    Afrika
    • Wajasiriamali wa Afrika wapata mafunzo ya biashara kupitia Internet nchini China 2018-06-27
    Wajasiriamali 29 kutoka Afrika wanashiriki mafunzo ya biashara kupitia mtandao wa Internet nchini China, ambayo yameandaliwa na kampuni ya Alibaba na Shirika la Biashara na Maendeleo la Umoja wa Mataifa, UNCTAD.
    More>>
    Dunia
    • Vitendo vya kujilinda kibiashara vyaanza kusababisha athari mbaya kwa Marekani yenyewe
     2018-06-27

    Kampuni ya Harley Davidson ya pikipiki ya Marekani tarehe 25 imetangaza kuhamishia baadhi ya shughuli zake nje ya Marekani, ili kuepuka ushuru wa forodha utakaotozwa na Umoja wa Ulaya dhidi ya bidhaa za Marekani. Marekani imeanza kukabiliwa na athari mbaya kutokana na vitendo vyake ya kujilinda kibiashara.

    More>>
    China
    • Rais wa China akutana na waziri wa ulinzi wa Marekani 2018-06-27

    Rais Xi Jinping wa China leo hapa Beijing amekutana na waziri wa ulinzi wa Marekani Bw. James Mattis. Rais Xi amesema, uhusiano kati ya China na Marekani ni moja ya uhusiano muhimu zaidi kati ya nchi mbili duniani, nchi hizo mbili zina maslahi makubwa ya pamoja katika sekta mbalimbali. Wakati huo huo si rahisi kuepuka kuzungumzia maoni tofauti kati ya nchi hizo mbili, na kusema China ina msimamo thabiti na dhahiri katika suala la mamlaka na ukamilifu wa ardhi.

    More>>
    Michezo
    • Timu ya Taifa yajiandaa na mechi za kufuzu kombe la dunia

    Timu ya taifa ya wanawake ya mchezo wa netiboli ya Uganda imeanza maandalizi kwa ajili ya mechi za kufuzu kombe la dunia mwaka 2019.

    More>>
    Uchumi
    • Ellen Johnson Sirleaf, ateuliwa mwenyekiti wa jopo la uchumi Afrika

    Aliyekuwa rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf, ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa jopo jipya la kuendesha mabadiliko ya uchumi wa Afrika.

    More>>
    Wiki hii
    • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Juni 16-Juni 23)

    1.Rais wa China na kiongozi wa Korea Kaskazini wafanya mazungumzo

    2.Rais wa Marekani Donald Trump abadili sera ya kutenganisha familia

    3.Wakimbizi zaidi 32,000 wa Burundi warudi nyumbani kutoka Tanzania

    4.Jeshi la Yemen latwaa udhibiti uwanja wa ndege wa Hodeidah

    5.Watu 34 wauawa kwenye mlipuko wa kujitoa mhanga, na shambulizi la guruneti Nigeria

    6.Mamlaka za Nigeria hazijasema lolote kuhusu tukio hilo.

    7.Pierre Bemba awasili nchini Ubelgiji

    8.Miili ya wahamiaji sita yapatikana, wengine 82 waokolewa pwani ya Libya

    More>>
    Afya
    • Ulaji wa chakula kingi chenye mafuta mengi kwa wakati mmoja unaweza kuathiri umetaboli

    Watafiti wa Ujerumani wamegundua kuwa ulaji wa chakula chenye mafuta mengi kwa wakati mmoja ikiwemo hamburger, chips na pizza unaweza kuathiri umetaboli wa mwili, na kusababisha ugonjwa wa maini yenye mafuta na ugonjwa wa kisukari.

    Sayansi
    • Barafu nyingi huenda ziko chini ya ardhi ya mwezi

    Watafiti wa Chuo Kikuu cha Kaskazini Mashariki cha Japan wamesema wamegundua madini kwenye miamba ya mwezi, ambayo inaonesha kuwa huenda kuna barafu nyingi chini ya ardhi ya mwezi. Na kama makisio haya yakithibitishwa, kituo kitakachojengwa kwenye mwezi kitaweza kuzalisha maji ya kunywa na nishati ya Hydrogen kwa barafu hizi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako