Wafanyakazi wa Idhaa ya Kiswahili ya CRI
China Radio International

Michezo ya Olimpiki ya walemavu ya Beijing yafungwa
• Mwenyekiti wa kamati ya Olimpiki ya walemavu ya Kenya yafurahia kazi mbalimbali za Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Beijing 09/17 22:17
• Rais Hu Jintao wa China afanya mazungumzo na mfalme Abdullah II Bin wa Jordan 09/17 21:30
• Michezo ya Olimpiki ya walemavu ya Beijing yafungwa 09/17 21:25
• Waziri mkuu Wen Jiabao akutana na mfalme wa Jordan 09/17 19:57
• Mkimbiaji mlemavu wa Kenya Kirwa apata medali ya dhahabu ya tatu 09/14 20:34
More>>
Blog ya Bi. Pili Khamisi
• Karibu utembelee Blog yangu!
Mimi ni Pili Mwinyi khamis ni mwenyeji wa Zanzibar, hapo awali nilikuwa nikifanya kazi Sauti ya Tanzania Zanzibar na hivi sasa nipo nchini China katika Redio China Kimataifa.
Karibu>>
Blog ya Bw. Khamisi Shaaban
• Karibu utembelee blog yangu!
Mimi Khamisi Shaabani kutoka Sauti ya Tanzania Zanzibar(STZ) sasa nipo China nikiwa katika kituo cha Redio China Kimataifa.
Karibu>>
Picha

Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Beijing yafungwa

Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Beijing yaingia siku yake ya 10

Viongozi wa China watazama maonesho ya kikundi cha wasanii walemavu cha China pamoja na wageni wa kimataifa
More>>
Makala
Wachezaji wenye umri mkubwa waliopata medali za dhahabu wakati wa Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Beijing 2008/09/26
Kwenye Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Beijing iliyofungwa hivi karibuni, wachezaji wawili ambao wana umri wa zaidi ya miaka 50, walipata medali za dhahabu kwenye mashindano ya baiskeli ya Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Beijing. Kati ya wachezaji hao wawili, mmoja ni mchezaji mwanamume mwenye umri wa miaka 50 kutoka Uswis Bw. Heinz Frei...
Mahojiano na kiongozi wa ujumbe wa Michezo ya Olimpiki ya Walemavu wa Kenya 2008/09/19
Vyombo vya habari duniani vyaipongeza sherehe ya ufungaji ya michezo ya Olimpiki ya walemavu 2008/09/19
Vyombo vya habari vya China na nchi za nje vimechapisha makala za kuipongeza michezo ya Olimpiki ya walemavu iliyofungwa tarehe 17 usiku hapa Beijing. Makala hizo zinasifu maonesho murua ya michezo ya sanaa kwenye sherehe hiyo, na kusema sherehe hiyo imeonesha kuwa Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Beijing imefanikiwa kikamilifu.
More>>
China Radio International.CRI. All Rights Reserved.
16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040