Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bibi Hua Chunying leo amesema, China inazitaka pande zinazozozana nchini Sudan Kusini zitekeleze kihalisi makubaliano ya kusitisha vita, na kulinda miundombinu muhimu ya kiuchumi nchini humo.
Bibi Hua amesema, China itaendelea kushirikiana na pande husika ikiwemo IGAD ili kurejesha mapema utulivu na utaratibu nchini Sudan Kusini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |