Rais Xi Jinping wa China leo ametoa salamu za rambirambi kwa rais Goodluck Jonathan wa Nigeria kufuatia shambulizi la mabomu lililotokea pembezoni mwa mji wa Abuja na kusababisha vifo vya watu wengi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |