• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya

  • Waziri mkuu wa China aahidi kupambana na uwindaji haramu na biashara haramu ya pembe za ndovu
    Habari
    Ziara ya waziri mkuu wa China nchini Kenya yaongeza urafiki na ushirikiano
    Rais Xi Jinping wa China atoa barua ya pongezi kwa mkutano wa tatu wa Baraza la watu wa China na Afrika
    Waziri mkuu wa China asisitiza kuimarisha ushirikiano wa vyombo vya habari kati ya China na Afrika
    Waziri mkuu wa China akutana na naibu rais wa Kenya
    Li Keqiang akutana na wakurugenzi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa
    More>>
    Maelezo
    • China na Kenya zafikia makubaliano ya kufadhili kwa pamoja mradi wa ujenzi wa reli
    Serikali za China na Kenya zimesaini makubaliano mapya ya ujenzi wa reli itakayounganisha miji ya Nairobi na Mombasa. Makubaliano hayo yamesainiwa wakati wa ziara ya siku tatu ya waziri mkuu wa China Li Keqiang nchini Kenya.
    • Bw. Li Keqiang na rais wa Kenyatta wafanya mazungumzo
    • Mkutano wa kilele wa kuhusu uchumi wa Afrika wajadili njia ya maendeleo ya Afrika
    Mkutano wa kilele kuhusu Afrika wa Baraza la uchumi wa dunia ulimalizika jana huko Abuja, Nigeria. Katika mkutano huo wa siku 3, wanasiasa na wafanyabiashara wakubwa wapatao 900 kutoka nchi zaidi ya 70 duniani walijadili mada mbalimbali zikiwemo namna ya kupata maendeleo ya haki na usawa, jinsi kuongeza nafasi za ajira na mwelekeo wa uchumi wa Afrika.
    • Hotuba iliyotolewa na waziri mkuu wa China kwenye Baraza la uchumi la dunia yavutia mwitikio mkubwa
    Waziri mkuu wa China Bw. Li Keqiang ambaye alikuwa ziarani nchini Nigeria jana alitoa hotuba kwenye mkutano wa 24 wa kilele wa Afrika wa Baraza la uchumi la dunia unaofanyika mjini Abuja, akisisitiza kuwa kujitokeza kwa Afrika kunasaidia amani na maendeleo ya dunia, na ushirikiano wa kunufaishana kati ya China na Afrika na unahimiza maendeleo yenye uwiano ya uchumi wa dunia wenye ongezeko kubwa linalonufaisha watu kwa haki na usawa. Hotuba yake imevutia mwitikio mkubwa.
    • Waziri mkuu wa China atoa hotuba kwenye mkutano wa kilele wa Afrika wa Baraza la uchumi la dunia
    Nafurahi ujumbe wa serikali ya China ambao si nchi ya Afrika kuhudhuria pamoja nami kwenye mkutano wa kilele wa Afrika wa Baraza la uchumi la dunia. Namshukuru Bw. Klaus Schwab kwa kunialika, na namshukuru rais Jonathan kwa mapokezi mazuri. Kauli mbiu ya mkutano huu ni "Kufaidika na ongezeko la uchumi kwa haki na usawa, na kuleta nafasi za ajira", ambayo inaendana na hali halisi na ina mvuto mkubwa.
    More>>
    Picha
    More>>
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako