Tanzania- Wadau wa sekta ya utalii, maajenti wa usafiri kampuni za ndege na mahoteli nchini Tanzania wamealikwa kuhudhuria kongamano la 39 utalii duniani litakalofanyika Uganda ili kupata fursa ya kujumuika na wadau wengine kwenye sekta hiyo na pia kupigia debe huduma zao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |