• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Ndege mbili za kijeshi za Ukraine zatunguliwa

    (GMT+08:00) 2014-07-23 21:11:30

    Msemaji wa jeshi la Ukraine amesema ndege mbili za kivita za jeshi hilo zimetunguliwa mashariki mwa nchi hiyo, sehemu zinazodhibitiwa na waasi.

    Wakati huohuo, waasi walio mashariki mwa Ukraine wametangaza kuangusha ndege mbili za kivita za jeshi la Ukraine.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako