• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China yasema kitendo cha kutumia nguvu za kijeshi kushambulia kambi ya wakimbizi ya Umoja wa Mataifa hakikubaliki

    (GMT+08:00) 2014-07-31 21:07:12

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bw. Qin Gang leo hapa Beijing amesema, bila ya kujali sababu yoyote, kitendo cha kutumia nguvu kushambulia zana za Umoja wa Mataifa na kusababisha vifo na majeruhi ya raia hakikubaliki.

    Bw. Qin Gang amesema, hivi karibuni shule za Umoja wa Mataifa zilizoko kaskazini mwa Gaza zilishambuliwa, China inasikitika na kulaani vikali kitendo hicho. Amesema China inazitaka Israel na Palestina ziitikia mwito wa jumuiya ya kimataifa kusimamisha vita mara moja bila sharti lolote.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako