• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya

  • • Sierra Leone yaanzisha kampeni ya kutokomeza Ebola
    More>>
    Habari
    • Nchi tatu za Afrika Magharibi zatoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuendelea kuongeza misaada ili kupambana na Ebola
    • Umoja wa Ulaya na nchi za Afrika kufanya mkutano kuhusu ufufuaji wa uchumi baada ya Ebola
    • AU yakaribisha kundi la kwanza la wafanyakazi wa afya waliotumwa kupambana na Ebola
    • Nchi zilizoathiriwa na Ebola zaweka mipango ya kufufua uchumi
    • Mkurugenzi wa UNDP afanya ukaguzi kuhusu hali ya ugonjwa wa Ebola nchini Liberia
    More>>
    maelezo
    China yazisaidia nchi zinazoathiriwa na Ebola kuanzisha na kuboresha mfumo wa afya ya umma
    Naibu mkurugenzi wa Kamati ya Afya na Uzazi wa Mpango ya China Bw. Ma Xiaowei amesema China inazisaidia nchi zinazoathiriwa na Ebola kudhibiti maambukizi ya ugonjwa huu na kuanzisha na kuboresha mfumo wa afya ya umma wa nchi hizo. Vilevile Bw. Ma amefahamisha kuwa, hakuna tukio la maambukizi ya Ebola, wala watu wanaodhaniwa kuambukizwa virusi vya Ebola nchini China kwa sasa.
    Chanjo ya Ebola yaanza kufanyiwa majaribio nchini Usiwisi wiki hii
    Hatimaye chanjo ya Ebola inayosubiriwa kwa muda mrefu inaanza kufanyiwa majaribio wiki hii nchini Uswisi.
    Wanasayansi wasema Dar iko katika hatari ya kupata mlipuko wa Ebola
    Wanasayansi kutoka chuo kikuu cha Oxford nchini uingereza wameiweka Tanzania katika orodha ya nchi za Afrika ambazo ziko katika hatari kubwa ya kupata mlipuko wa Ebola. Wanasayansi hao pia wameonya kwamba zaidi ya watu milioni 22 barani Afrika wako katika hatari ya kupata maambukizi.
    More>>
    picha

    Sierra Leone yaanzisha kampeni ya kutokomeza Ebola

    Kikosi cha tatu cha madaktari wanajeshi wa China chaelekea Sierra Leone kusaidia kupambana na Ebola

    Ugonjwa wa Ebola huenda ukatokomezwa Liberia mwishoni mwa Juni mwaka huu

    Ban Ki Moon atoa wito wa juhudi za kufufua eneo la Afrika Magharibi kufuatia madhara ya Ebola
    More>>
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako