Mjumbe maalum wa rais wa China anayehudhuria mkutano wa tatu wa nchi zinazoendelea za visiwa vidogo nchini Samoa, Bw. Zhang Yesui amesema kusukuma mbele maendeleo endelevu ya nchi hizo za visiwa vidogo si kama kutazinufaisha nchi hizo tu, bali pia kunahusiana na maslahi ya watu wote duniani. Amesema China inapenda kuendelea kuimarisha ushirikiano na nchi hizo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |