Mji wa Hefei Hefei Awali, mji wa Hefei ulijulikana kama Ho-fei, Luzhou, au Luchow, na mji mkuu wa mkoa wa Anhui ulioko mashariki mwa China. Mji huo wenye ngazi sawa na wilaya, ni makao makuu ya kisiasa, kichumi, na kiutamaduni ya mkoa wa Anhui. Mji wa Hefei unapakana na Huainan upande wa kaskazini, upande wa kaskazini mashariki unapakana na Chuzhou, kusini mashariki unapakana na Chaohu, na magharibi, mji huo unapakana na Lu'an....
| |
Mji wa Wuhu Wuhu Wuhu ni mji ulioko kusini mashariki mwa mkoa wa Anhui, na mji huo una hadhi sawa na wilaya. Ukiwa kusini mashariki mwa Mto Yangtze, Wuhu umepakana na Xuancheng upande wa kusini mashariki, Chizhou na Tongling upande wa kusini magharibi, Hefei kaskazini magharibi, Ma'anshan upande wa kaskazini mashariki, na mkoa wa Jiangsu upande wa mashariki. Idadi ya watu mjini Wuhu ni milioni 3,443,192 kutokana na sensa ya mwaka 2010....
| |
Mji wa Anqing Anqing Anqing ni mji wenye ngazi sawa na wilaya ulioko kusini magharibi mwa mkoa wa Anhui. Unapakana na Lu'an upande wa kaskazini, Hefei na Wuhu upande wa kaskazini mashariki, Tongling upande wa mashariki, Chizhou upande wa kusini mashariki, mkoa wa Jiangxi upande wa kusini, na upande wa magharibi, mkoa wa Hubei. Mji wa Anqing ni muhimu kwa viwanda vya nguo, spea za magari, chakula, na chai....
| |
Mji wa Huangshan Huangshan Huangshan ni mji ulio kwenye milima iliyoko kusini mwa mkoa wa Anhui, mashariki mwa China. Mji huo umejengwa kwenye milima inayotokana na vitu vilivyotolewa baharini wakati wa enzi za Mesozoi, miaka milioni 100 iliyopita. Mji huo ni maarufu kutokana na mandhari yake nzuri....
| |
|
|
|
6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
|