Watu 2 wameuawa na wengine 6 kujeruhiwa katika mlipuko wa mabomu uliotokea leo asubuhi katika barabara kuu karibu na wizara ya mambo ya nje nchini Misri.
Gazeti la serikali ya Misri Al-Ahram limeeleza kuwa, watu hao wawili waliouawa ni askari wa Misri. Habari nyingine zinasema, idara ya usalama ya Misri inaona kundi la kiislam lenye msimamo mkali linalojiita Ansar Bayt al-Maqdis limehusika na mlipuko huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |