Wapiganaji 21 wa kundi la kishia la Houthi wameuawa katika shambulizi lililofanywa mapema leo na watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi la Al Qaida mjini Radda, mkoa wa al-Bayda, nchini Yemen.
Shambulizi hilo ni mfululizo wa mapigano yaliyoanza jana usiku, na mpaka sasa hakuna taarifa zozote za vifo au majeruhi kwa upande wa wapiganaji wa kundi Al Qaeda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |