Polisi nchini Zimbabwe wamesema, watu 11 wamefariki na wengine 40 kujeruhiwa jana usiku baada ya kutokea mkanyagano wakati wa ibada kwenye kanisa moja mjini Kwekwe, kilomita 213 kusini magharibi mwa mji mkuu wa Zimbabwe, Harare.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |