Mawaziri wa jumuiya ya nchi zinazouza mafuta kwa wingi OPEC wameamua kudumisha kiwango cha uzalishaji wa mafuta wakati bei ya mafuta duniani ikipungua kwa kiasi kikubwa. Uamuzi huo wa kudumisha uzalishaji wa mapipa milioni 30 kwa siku uliopitishwa mwezi Desemba mwaka 2011, unalenga kurejesha uwiano katika soko katika hali ambayo bei ya mafuta inaendelea kupungua kwa kasi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |