Bi:Twalama anasema hayo katika warsha iliyoandaliwa na mtandao wa nishati.
Aidha alisema utaratibu huo utasaidia kukabiliana na uharibifu wa mazingira unaotokana na ukataji wa miti kwa ajili ya mkaa na kuni.
Bi;Twalama anasema asilimia kubwa ya wananchi wanashindwa nunua gesi kwa ajili ya bei ya juu, badala yake wanakimbilia mkaa na kuni, jambo linalosababisha jangwa.
Mwanachama wa mtandao Gisela anasema endapo halmashauri zitashirikiana vizuri na wadau pamoja na mashirika yanayojihusisha na utafiti wa uzalishaji wa nishati kwa njia mbalimbali, itakuwa rahisi kufikia malengo husika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |