Huku ushirikiano wa kibiashara kati ya Afrika na China ukiendelea kuongezeka, maingiliano na mawasiliano ya utamaduni kati ya watu wa pande zote mbili pia unakua siku hadi siku. Ndoa ni aina mojawapo ya mifano ya kuonyesha jinsi wachina na waafrika wanatangamana.
Nchini Tanzania kuna zaidi ya vikundi 40 vya ustadi wa Kungfu. Lakini sio wote ambao wanafahamu vyema historia ya sanaa hiyo ya China kwani hawajahi kwenda nchini China.