OECD yasema mageuzi nchini China yapata maendeleo dhahiri Jumuia ya Ushirikiano wa Uchumi na Maendeleo OECD imesema, mageuzi nchini China katika miaka ya karibuni kwenye sekta muhimu yamepata maendeleo dhahiri.
|
China kuongeza usimamizi kwa bidhaa feki zinazouzwa kupitia mtandao wa internet Wizara ya Biashara ya China imeitisha mkutano na waandishi wa habari ili kujibu masuala yaliyogonga vichwa vya habari hivi karibuni. Kuhusu suala la uuzaji wa bidhaa feki kupitia mtandao wa internet, msemaji wa wizara hiyo Bw. Shen Danyang amesema China itatumia teknolojia mpya kuongeza usimamizi dhidi ya suala hilo.
|
GDP ya China yaongezeka kwa asilimia 7.4 kwa mwaka 2014 Takwimu zilizotolewa leo na mamlaka ya takwimu ya China zimeonesha kuwa thamani ya jumla ya uzalishaji GDP ya China iliongezeka kwa asilimia 7.4 kwa mwaka 2014 na kufikia dola za kimarekani trilioni 10.4. Kasi hiyo ya ukuaji wa GDP ni ndogo zaidi katika miaka 24 iliyopita, hata hivyo inalingana na matarajio ya soko, wakati Chinanchi hiyo ikinakumbatia hali mpya ya kawaida ya uchumi wake ambao unasisitiza kupunguza kasi ya ongezeko lakini kuongeza ubora wake.
|
|
More>> |