Kikosi cha kwanza cha kulinda amani cha China kinachoundwa na askari 144 wa ardhini jana kiliondoka na kuelekea Sudan Kusini kwa ndege ya Umoja wa Mataifa.
Kwa mujibu wa mpango, Askari wengine 520 wa kikosi hicho watapelekwa kwa vikundi nchini Sudan Kusini na kutekeleza majukumu ya kulinda amani kwenye eneo la Juba.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |