Hadi jana mkutano wa tatu wa Baraza la 12 la mashauriano ya kisiasa la China ulipokea mapendekezo 979, na 657 kati ya hayo yameandikishwa.
Imefahamika kuwa mapendekezo mengi ya mwaka huu yanalenga kudumisha ongezeko la uchumi, kuimarisha mageuzi, kuhimiza utawala wa kisheria, kuboresha maisha ya wananchi na kushirikisha zaidi umma katika maamuzi kuhusu masuala ya uhakikisho wa jamii.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |