• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya

  • Tuzo kwa madaktari bora wa China wanaotoa huduma nje zatolewa
    More>>
    Habari
    • Tabasamu la muuguzi kutoka China lachangia mapambano dhidi ya  Ebola 2015-03-30
    • Tuzo kwa madaktari bora wa China wanaotoa huduma nje zatolewa 2015-03-24
    • Hafla ya kutoa tuzo kwa madaktari bora wa China wanaotoa huduma nchi za nje yafanyika hapa Beijing 2015-03-24
    • Amepanda mti wa uzima nchini Sierra Leone 2015-03-24
    • Mtaalamu wa afya za umma wa China Lu Hongzhou 2015-03-24
    More>>
    Madaktari 10 Bora

    Muuguzi Wang Jinhua aliyetoa huduma nchini Cambodia

    Wang Zhenchang na madaktari wenzake wa China walioko mstari wa mbele kukabiliana na Ebola nchini Guinea

    Daktari Zhang Yueming na kumbukumbu yake kuhusu Guyana

    Yeye ni mmoja wa madaktari wa kwanza wa China kutoa msaada Sudan Kusini

    Dakta. Li Jin, mmoja wa madaktari wa China walio mstari wa mbele katika vita dhidi ya Ebola

    Daktari wa manowari ya hospitali "Peace Ark"

    Tabasamu la muuguzi kutoka China lachangia mapambano dhidi ya  Ebola

    Amepanda mti wa uzima nchini Sierra Leone

    Mtaalamu wa afya za umma wa China Lu Hongzhou

    Daktari hodari wa China aliyetoa msaada nchini Zambia
    Upendo usiokuwa na mipaka
    Tangu China ilipotuma kikundi cha madaktari barani Afrika kwa mara ya kwanza mwaka 1963, China imeendelea na kazi hiyo kwa miaka 51. Mwaka 2013 Rais Xi Jinping alipokutana na ujumbe wa madaktari hodari waliotoa msaada wa matibabu nchi za nje alisema, kutoa msaada wa matibabu ni sehemu muhimu ya diplomasia ya China, madaktari wa China si kama tu wamehimiza maendeleo ya jukumu la afya la nchi walipotoa msaada na kuinua kiwango cha afya za watu wa huko, bali pia wamehimiza urafiki kati ya wananchi wa China na nchi nyingine.
    More>>
    misaada ya matibabu iliyotolewa na China
    China yatoa mafunzo kwa wahudumu wa afya elfu 10 wanaoshughulikia tiba ya Ebola katika nchi za Afrika magharibi
    Kundi la pili la madaktari wa China nchini Liberia lapokea mgonjwa wa kwanza aliyethibitishwa kuambukizwa Ebola
    Kundi la China linalotoa mafunzo kwa Togo laanzisha mafunzo juu ya kinga na udhibiti wa Ebola
    Kikosi cha tatu cha madaktari wanajeshi wa China chaelekea Sierra Leone kusaidia kupambana na Ebola
    Kikosi cha matibabu cha China nchini Liberia chaanza kuhudumia wagonjwa wanaodhaniwa kuambukizwa Ebola
    More>>
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako