Katika siku za karibuni serikali ya mji wa Beijing ilitoa rasimu ya agizo kuhusu majina ya miji na mitaa hapa Beijing. Rasimu hiyo inataka kupiga marufuku majina ya viongozi, majina ya kigeni au maneno machafu kuwa majina ya mitaa, lakini vilevile inahimiza majina ya kale yalindwe na kuhifadhiwa, na majina ya sehemu mpya yasitukuzwe sana. Hatua hiyo imezua mjadala, na kawaida kwenye mijadala kuna wanaounga mkono na wanaopinga. Vilevile wasikilizaji wetu wanatoa maoni yao kuhusu hatua hiyo. Kwa undani zaidi sikiliza kipindi chetu.
China machoni mwetu 20150326
|
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |