• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya

  • Marais wa China na Zimbabwe wakutana
    More>>
    Habari
  • Marais wa China na Zimbabwe wakutana
  • Rais wa China akutana na waziri mkuu wa Japan
  • Mkutano wa viongozi wa Asia na Afrika wafunguliwa na rais Xi Jinping wa China ahutubia mkutano huo
  • Rais wa China awasili Jakarta kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Asia na Afrika na maadhimisho ya miaka 60 ya mkutano wa Bandung
  • China na Pakistan zitasimama na kusonga mbele pamoja
  • More>>
    Maelezo
    Rais Xi Jinping wa China atoa hotuba kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya mkutano wa baraza la Asia na Afrika
    Viongozi wa nchi za Asia na Afrika jana walikusanyika Jakarta Indonesia kwenye mkutano wa kuadhimisha miaka 60 tangu kufunguliwa kwa mkutano wa baraza la Asia na Afrika, yaani mkutano wa Bandung. Rais Xi Jinping wa China alitoa hotuba kwenye mkutano huo, na kueleza sura mpya kuhusu jinsi nchi zinazoendelea zinavyoweza kushikamana na kushirikiana ili kufanya kazi kubwa zaidi na kuhimiza maendeleo yenye uwiano duniani katika zama mpya. Pia ameahidi kuwa China daima itakuwa rafiki na mwenzi wa dhati wa nchi zinazoendelea.
    More>>
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako