Mwisho mwa mwezi uliopita, serikali ya China ilitoa ripoti ya kwanza kuhusu hali ya tatizo la dawa za kulevya. Ripoti hiyo inaeleza ukubwa wa tatizo, changamoto zake na juhudi zinazofanywa na serikali ya China na jamii ya China kwa ujumla kupambana na tatizo hili.
Kwa undani zaidi hebu sikilize kipindi chetu
20150709 China Machoni Mwetu
|
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |