Kampuni kubwa ya bia Afrika mashariki EABL imetangaza ongezeko la faida la asilimia 40 mwishoni mwa mwezi juni hadi shilingi bilioni 9.6. Kampuni hiyo imesema ongezeko hilo limetokana na kuongezeka kwa mauzo ya mvinyo. Kufuatia matokeo hayo bodi ya kampuni hiyo imependekeza mgao wa asilimia 6 kwa wenye hisa wa kampuni hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |