Mashambulizi hayo yalisababisha vifo vya watu 67 na wengine 182 kujeruhiwa. Wapiganaji hao pia walipatikana na hatia ya mauaji, umiliki wa silaha kinyume cha sheria, umiliki na uuzaji haramu wa dawa za kuchochea akili na uharibifu kwa kutumia vifaa vya kulipuka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |