Jana ilikuwa siku ya 19 tangu kutokea kwa milipuko mikubwa katika bandari ya Tianjin. Hadi jana alasiri, idadi ya watu waliofariki katika milipuko hiyo iliongezeka hadi 150. Aidha, shule za msingi na za sekondari zaidi ya 300 katika sehemu ya Binhai zimefunguliwa leo kama ilivyopangwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |