Mnadhimu mkuu wa jeshi la China Fang Fenghui amekutana na naibu waziri wa mambo ya nje wa Marekani Bw Tony Blinken mjini Beijing na kuahidi kwa pamoja kuwa watasukuma mbele ushirikiano mpya wa kijeshi kati ya nchi hizo mbili. Ili kuwa na msingi imara wa ushirikiano kati ya nchi hizo mbili, Bw Fang alitoa wito wa kutafuta mwelekeo wa pamoja, kutatua tofauti zao na kuelewa maslahi na malengo ya kila upande.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |