China ni nchi ambayo inakabiliwa na mabadiliko katika muundo wa idadi ya watu, kutokana na utekelezaji wa sera ya mtoto mmoja. Kuinuka kwa kiwango cha maisha na kuboreka kwa huduma za afya, wachina kwa sasa wanaishi kwa muda mrefu, hali ambayo imefanya idadi ya wazee iongezeke. Lakini ongezeko la idadi ya wazee limeleta changamoto nyingine, nayo ni namna ya kuwatunze wazee. Leo katika kipindi hiki tunaangalia jinsi wachina wanavyokabiliana na changamoto hii.
20151022 China Machoni Mwetu
|
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |