Kamishna wa kaunti ya Lamu ya Kenya Bw. Fredrick Ndambuki amesema usalama umeimarishwa katika mji huo ili kuwalinda raia wa Kenya na watu wa nje wanaoshiriki katika tamasha la utamaduni la Lamu, likikusudia kutangza utamaduni wa Kiswahili na kuhuisha sekta ya utalii ya Kenya inayokabiliwa na wakati mgumu kufuatia changamoto za usalama.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |