Waokoaji wanafanya juhudi kuwaokoa zaidi ya watu 120 waliokwama kwenye vifusi vya jengo lililoporomoka.
Tetemeko hilo lenye nguvu ya 6.7 na kina cha kilomita 15 chini ya ardhi lilitokea jana alfajiri kiswani Taiwan na kusababisha kujeruhiwa kwa zaidi ya watu 460.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |