Wizara ya mambo ya nje ya Sudan leo imetoa taarifa rasmi kuhusu suala la bahari ya kusini ya China, ikitoa wito kwa nchi zote husika kutatua migogoro kuhusu mamlaka ya ardhi na bahari kwa njia ya amani kwa kupitia mazungumzo ya kirafiki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |