• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kundi la Taliban la Afghanistan lathibitisha kifo cha kiongozi wake

    (GMT+08:00) 2016-05-25 16:32:16

    Kundi la Taliban la Afghanistan limethibitisha kifo cha kiongozi wake, Mullah Mohammad Akhtar Mansoor, kilichotokea katika shambulizi la anga mwishoni mwa wiki iliyopita.

    Taarifa iliyotolewa na kundi hilo kwenye mtandao wa internet imesema, kundi hilo limemteua Moulavi Haibatullah Akhundzada kuwa kiongozi mpya kushika nafasi ya Mansoor. Taarifa hiyo imesema, wajumbe wote wa kamati ya uongozi ya Taliban wameunga mkono uteuzi wa Akhundzada, ambaye alikuwa naibu wa pili wa Mansoor.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako