Marcus Rashford, mwenye umri wa miaka 18, alifunga goli lake la kwanza akiichezea timu ya taifa Uingereza kwenye mchezo wa Kimataifa wa kirafiki walioshinda kwa magoli 2-1 dhidi ya Australia siku ya Ijumaa.
Mshambuliaji wa timu ya Liverpool Daniel Sturridge ameorodheshwa kwenye kikosi hicho, hata hivyo mchezaji wa Newcastle United Andros Townsend na Danny Drinkwater wa Leicester City wameachwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |