Kulingana na gazeti la Chicago Tribune, kamati hiyo imependekeza Infantino aliyejaza nafasi Sepp Blatter kulipwa takriban dola laki mbili kila mwaka.
Mshahara huu ni dola laki moja chini ya ule Blatter alikuwa anapokea.
Infantino mwenye umri wa miaka, 45, alikataa pendekezo la kukatwa mshahara kabla ya kongamano ya wanachama 211 wa FIFA lilofanyika jijini Mexico City.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |