Akizungumza baada ya kuongoza Kenya kuandikisha sare ya pili mfululizo ilipokabwa 1-1 na Sudan, Okumbi alisema Jumanne kuwa kushinda Congo Brazzaville mnamo Juni 3 siyo muhimu tu kwa taifa, bali pia kwake binafsi.
Okumbi aliwaacha nje wachezaji kama nahodha Victor Wanyama anayechezea klabu ya Southampton, Uingereza, Ayub Timbe anayesakata kwenye klabu ya Lierse, Ubelgiji, David Owino na Anthony Akumu na hata kipa Boniface Oluoch, miongoni mwa wengine.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |