Kiungo Mudathir Yahya alianza kuipatia timu yake bao la kwanza katika dakika ya 69 kwa shuti la kiufundi kufuatia pasi ya kiungo Frank Domayo.
Abdallah Masoud 'Cabaye' akawafungia bao la pili dakika ya 81 mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati kwa shuti zuri la umbali wa mita 30.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |