Uganda imepaa nafasi nane katika viwango vipya vya raga duniani, ambavyo vimetangazwa Jumatatu.
Cranes, ambayo itakabana koo na Simba XV ya Kenya mnamo Julai 30 jijini Nairobi, imeruka Trinidad & Tobago, Malta, Colombia, Guyana, Lithuania, Visiwa vya Cook, Senegal na Madagascar.
Afrika Kusini, nayo imetua katika nafasi ya 42 duniani baada ya kuaibisha Zimbabwe Sables 34-27 katika Kombe la Afrika daraja 1A jijini Harare mnamo Julai 23.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |