Taarifa iliyotolewa na Shirikisho hilo imesema, hadi sasa hifadhi ya jumla ya madini ya dhahabu kote duniani imefikia tani laki moja, ambayo yako katika nchi zaidi ya kumi, zikiwemo Afrika Kusini, China, Russia, Australia, Indonesia, na Marekani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |