Kesi kuhusu kifo cha kijana wa Marekani mwenye asili ya Afrika Freddie Gray imesimamishwa. Kijana huyo alifariki akiwa kuzuizini wiki moja baada ya kukamatwa mwaka jana. Mahakama ya jimbo la Maryland imetangaza kuwaondolea mashataka polisi 3 kufuatia wengine watatu, kwa hiyo hakuna polisi hata mmoja kati ya 6 wanaohusika na kesi hiyo atakayeadhibiwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |