Juhudi za kuondoa miili ya wahanga kutoka eneo la tukio bado zinaendelea.
Mji wa Qamishli umekuwa ni shabaha ya mashambulizi ya mabomu ya kundi la IS mara nyingi kutokana na uhasama dhidi ya wanajeshi wa Kikurd ambao wanadhibiti mji huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |