Liverpool imeitandika Barcelona mabao 4-0 kwenye michuano ya ubingwa wa kimataifa ICC iliochezewa uwanja wa Wembley mjini London.
Sadio Mane ndiye alianza kutikisa nyavu kunako dakika ya 15 akifuatiwa na Javier Mascherano na Divock Origi's ambao walifanya mambo kuwa 3-0.
Hatimaye Marko Grujic aligonga msumari wa mwisho uliowalaza Barca na kichapo hicho cha mabao manne bila jawabu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |