• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Usain Bolt kustaafu riadha mwaka ujao

    (GMT+08:00) 2016-08-10 08:53:06

    Mwanariadha Usain Bolt amedokeza kustaafu riadha ifikapo Februari mwaka 2017 baada ya michuano ya Mabingwa wa Dunia, na kuongeza kuwa hii itakuwa ni michuano yake ya mwisho ya Olimpiki kushiriki.

    Mwanariadha huyo raia wa Jamaica anayeshikilia rekodi za mita 100 na 200 duniani, pia amesema anadhamiria kuwa mwanariadha kwa kwanza kukimbia kwa sekunde 19 katika mbio za mita 200.

    Bolt anaweza kuondoka Rio na mafanikio ya kutwa tena medali za dhahabu tatu za mbio za mita 100, mita 200 na mbio za 4x100mita kupokezana kijiti kama ilivyokuwa mwaka 2008 na 2012.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako