Treni ya mwendo kasi iliyosanifiwa na kutengenezwa na China kwa kujitegemea leo kwa mara ya kwanza imesafiri ikiwa na abiria kutoka mji wa Dalian na kuelekea mjini Shenyang, kaskazini mwa China.
Utengenezaji wake uliofanywa kwa vigezo vya kichina ambavyo viko juu kuliko vile vya Ulaya na Japan ulimalizika mwezi Juni mwaka jana, na kasi ya treni hiyo ni kilomita 350 kwa saa. China ina hakimiliki kamili ya treni hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |