Leo China imerusha kwa mafanikio satelaiti ya kwanza duniani ya quantum kwa roketi ya March-2D kwenye Kituo cha Kurushia Satelaiti cha Jiuquan, kaskazini mwa China.
Satelaiti hiyo imesanifiwa kwa ajili ya kuanzisha mawasiliano ya quantum yenye ngazi ya juu ya usalama, kwa kutuma vidokezo vilivyo salama kutoka angani hadi ardhini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |