Michezo ya Olimpiki imekamilika nchini Brazil kwenye shererehe ya kufunga mashindano hayo iliofanyika katika uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro.
Sasa mji wa Tokyo Japana unachukua rasmi uandalizi wa mashindano yajayo ya mwaka wa 2022.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |