Serikali ya Russia yafuta marufuku ya kwenda Uturuki kwa ndege za kukodi
Tovuti ya serikali ya Russia wiki hii imetangaza azimio la serikali kuhusu kufuta marufuku ya kwenda Uturuki kwa ndege za kukodi.
Kabla ya hapo shirika la utalii la Russia lilipeleka watalii nchini Uturuki kwa ndege za kukodi, hivyo kufutwa kwa amri hiyo kutasaidia kufufua sekta ya utalii nchini Uturuki.
Waziri mkuu wa Russia imelitaka shirika la ndege na kampuni za ndege za Russia zichukue hatua ili kuhakikisha usalama wa ndege zinazokwenda Uturuki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |