Rais wa TRBA, Noel Kihunsi amesema, wataitumia fursa waliyoipata ili kuhakikisha wanawavuta vijana wengi zaidi waweze kuuelewa na kushiriki katika mchezo huo ikiwa ni pamoja na kupata vijana wengi watakaoiwakilisha nchi katika mashindano ya Kombe la Dunia yatakayofanyika Desemba mwakani nchini Uganda. Kihunsi amesema, kwa sasa pia wapo katika maandalizi ya mashindano ya taifa ambapo wanaendelea kufuatilia taratibu zinazotakiwa katika kuandaa mashindano hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |