Ajali ya kugongana kwa treni iliyotokea jana kwenye kituo cha Hoboken cha jimbo la New Jersey nchini Marekani, imesababisha kifo cha mtu mmoja na wengine zaidi 100 kujeruhiwa, chanzo cha ajali hiyo kinachunguzwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |