China itakuwa mwenyeji wa kongamano la 7 kuhusu ushirikiano wa usalama kwenye sehemu ya Asia Pacifiki kuanzia tarehe 10 mwezi Oktoba hadi 12 hapa Beijing. Wajumbe kutoka nchi na mashirika zaidi 60 pamoja na taasisi zaidi 100 za ndani na nje watahudhuria kongamano hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |